Ankali habari za kuendeleza libeneke, nimejaaliwa kuipata picha hii,ambayo ina kumbukumbu kwa wapenzi wa kandanda, hiyo ilikuwa ni Majimaji, mie nimebahatika kumjua huyo wa nne kushoto ni Golikipa mahiri Isihaka Majaliwa, hao wengine nisaidieni wadau. Msaada kwenye tuta tafadhali wadau...
Mdau Ussama
-------------------------
Ankali nimeweza kupata majina ya baadhi ya hao wachezaji wa majimaji, picha hii ilipigwa uwanja wa sokoine Mbeya 1984 au 1985.Kuanzia kushoto kwenda kulia,Nyoni (Team Manager),Hamisi Malumbo(GK), Andrew Kidulani(marehemu),Isihaka Majaliwa, anaepeana mkono na mgeni rasmi Maj Gen (Rtd) Makame Rashidi Mkuu wa Mkoa Mbeya enzi hizo ni Peter Mhina, Willy Kiango (Marehemu),Emmanuel Mbunga (Marehemu),anaeonekana kichwa ni Rashid Lato, Tofi au Mrope,Abdalah Chuma, Rajabu Muhoza.Majina haya nimepewa na golikipa mkongwe Isihaka Majaliwa anaepatikana mjini Iringa.
-------------------------
Ankali nimeweza kupata majina ya baadhi ya hao wachezaji wa majimaji, picha hii ilipigwa uwanja wa sokoine Mbeya 1984 au 1985.Kuanzia kushoto kwenda kulia,Nyoni (Team Manager),Hamisi Malumbo(GK), Andrew Kidulani(marehemu),Isihaka Majaliwa, anaepeana mkono na mgeni rasmi Maj Gen (Rtd) Makame Rashidi Mkuu wa Mkoa Mbeya enzi hizo ni Peter Mhina, Willy Kiango (Marehemu),Emmanuel Mbunga (Marehemu),anaeonekana kichwa ni Rashid Lato, Tofi au Mrope,Abdalah Chuma, Rajabu Muhoza.Majina haya nimepewa na golikipa mkongwe Isihaka Majaliwa anaepatikana mjini Iringa.
Kwa huyo mgeni rasmi ni Balozi Mstaafu Makame Rashid. Anayemfuatia golikipa ni Mtawa Kapalata, anayefuatia kama vile ni Marehemu Rajabu Hoza samahani kama nitakuwa nimekosea kumfananisha.
ReplyDeleteyuko wapi ahmed kampira,samli ayoub
ReplyDelete