Mgeni rasmi,Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Lut.Kanal Idd Kipingu pichani kati (shati la drafti) akiwaa pamoja na familia ya Renatus Boniface Njohole,usiku wa leo wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa taasisi ya michezo isiyo ya kiserikali alias Njohole Legend Foundation ndani ya hoteli ya Movenpick,jijini Dar.
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Lut.Kanal Idd Kipingu pichani kulia akimkabidhi cheti cha uthibitisho mchezaji wa mpira ambaye kwa sasa anachezea nje,Renatus Boniface Njohole,usiku wa leo wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa taasisi ya michezo isiyo ya kiserikali alias Njohole Legend Foundation ndani ya hoteli ya Movenpick,jijini Dar. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 20, 2011

    Hatua nzuri na muhimu katika kuendeleza michezo Tanzania, tuko pamoja all the way ndugu yangu! Deo, Cardiff... Mpe shout wajina lol

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 20, 2011

    Ankal na wadau wote, kwa Kiswahili shati la "drafti" si sahihi. Hilo ni shati la kunguru. Ahsante.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...