Ankal najua uko mwananyamala au tandale kwa mfuga mbwa ukifukuza mbu kwa maandalizi ya kulala. Mie nilikuwa njia panda ya kwenda ulaya (airport) nikichungulia dunia ndipo nilipomfotoa Mrisho Ngasa akikamata Mwewe la KLM kuelekea ubatani. Aliyevaa pull over ya manjano ni mzee Alex Kajumulo.
Home
Unlabelled
globu ya jamii eksklusiv: mrisho ngassa apaa, alex kajumulo atua
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...