Rais jakaya Kikwete (mdogo wake JK) , akiwa katika picha ya pamoja na mkewe Mama Salma Kikwete na Bwana Harusi Yusuf  Kikwete  na Bi Harusi Mariam Ombaka baada ya kumeremeta mjini Bagamoyo Ijumaa hii. Kwa picha zingine kibao na Muhidin Sufiani BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 16, 2011

    Mabruki Ust Mustapha. Nd Michuzi ungetuhabarisha vizuri hapa, je huyu Mustapha ndio nani?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 16, 2011

    Hii nimependa sana kwakweli kwani ni harusi inaonesha iko kikawaida tu wala hujui kuwa huyu ni mdogo wake RAIS WETU wa nchi hii,
    Yaani iko simple tu, sio kama wengine harusi ya mdogo wake mmubnge tu wa nchi hii ndio tunaiyona vimbwanga vyake na ufuska ulivyojaa na kutumia mapesa kibao ile kuonesha kuwa mimi ni mtu wa DARAJA fulani

    lakini hii ya mdogo wa rais wameifanya kama ya kwangu mimi na wewe tu haina mambo makubwa, ishallah mwenyezi mungu aiongowe ndoa hii na aitie barka na awape kizazi chenye kheri na nyinyi amin

    hii harusi safii sana .....haina kuletwa khadija kopa wala MASHAUZI wakafanya UCHAFU wao na kujihashuwa mijitu mizima baada ya kukaa wakasali sala tano wao bado tu wanahangaika na ULIMWENGU, mustafa kikwete hongera sana

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 16, 2011

    Amaitwa Yusuf Kikwete nafikili pamekosewa kuandika jina
    Kila la kheri Yussuf kwenye ndoa yako na mwenyezi mungu
    awape kila lakheri na furaha ndaniya ndoa yenu INSHALLAH
    Mpili R Mpili

    ReplyDelete
  4. HIVI JAMANI HILI TATIZO LA EMEME HADI LINI? AU TANZANIA TUMELOGWA. NA ALIYETULOGA KESHAKUFA!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...