Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya yeye na Waziri wa Teknolojia, Habari na Mawasiliano wa Rwanda, Dk. Ignace Gatare (katikati) kufanya ziara ya kikazi kukagua mitambo ya mkonga wa mawasiliano wa EASSy uliopo Makao Makuu ya Zantel jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Afisa Mkuu wa Biashara wa Zantel, Norman Moyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...