Ankal akiwa na Mbunge wa Kigamboni Dkt Faustine Ndugulile wakijipatia futari katika mkahawa unaohudumia futari ya nguvu katika mwezi huu mtukufu ya City Garden katika bustani ya Nyerere Square katikati ya mji wa Dodoma kila siku jioni.
 Wadau kibau hufurika hapo City Garden kila siku jioni kwani bei ni chee na futari ni ya nguvu
 Wadau wakimiminika City Gardem mjini Dodoma leo
Ankal na Mbunge wa Kigamboni Dkt Faustine Ndugulile wakijipatia futari leo jioni katika City Garden mjini Dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. michuzi mbona hiyo sio jioni au mzee ndio hivyo tena

    ReplyDelete
  2. KWA MTAZAMO WANGU WA PICHA ILIVYO HIO SIO FUTARI KWANI MAGHARIBI HAIJAINGIA HAPO NI KWEUPE, HAPO NI WASAFIRI WANAKULA TU ILA SIO FUTARI

    ReplyDelete
  3. kaka mbona hapo mchana kweupe? halafu hilo koti dry cleaner umemlipa sh ngapi? teh teh

    ReplyDelete
  4. Michuzi mbona habari za Libya humu hamna? Kukaa kimya nako ni propaganda pia.

    ReplyDelete
  5. Ankal hiyo Futari mbana na jua kali hivyo.Duh!Hiyo sio lunch kweli??


    Mkulima,Kijijini Gezaulole.

    ReplyDelete
  6. we michuzi muislam jina hufungi wala huswali ...

    ReplyDelete
  7. KWeli mithupu hapo unaonekana kazee kweli kweli nimejua siri ya kale katisheti ketu kanafichaga umri aiseee!

    ReplyDelete
  8. Umejitakia mwenyewe Michuzi. Kwani siku hizi haijalishi jina kuna akina Thomas Ramadhani lakini wanafunga na sala tano haziwapiti. Akiwa (mke) nyumbani hafungi na ndie anayempikia bora ale tu au atakuwa anashinda na njaa. Unajua kuna mwanamme mmoja yuko huku marekani amezaa na kimada mkristo kwa hiyo amemhamisha nyumbani anakaa naye na yeye anafunga na sala tano hazimpiti na ijumaa kanzu nzito anavaa kwenda msikitini. HII IMEKAAJE MAUSTADH. HEBU WASOMESHENI HAWA WENZENU WANAANGAMIA NA KUUSINGIZIA UISLAMU KILA AINA YA UONGO.

    ReplyDelete
  9. Unajua Lailatu Al-qadr huwa usiku unaonekana mchana. Usijali kaka Michu, kila mtu na kaburi lake. Mwenye enzi hachakachui malipo, kila mtu atabeba msalaba wake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...