Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. ahahahah kazi itakuwepo hapo

    ReplyDelete
  2. Duh, Gado ni noma. Yani hapo atakaejifanya anatoa shilingi tu kinanuka upyaaa!

    ReplyDelete
  3. ni kweli hapo usishangae kukanza makundi yatakayopigana wenyewe kwa wenyewe. ni kama game fulani. ukikaa na mzungu sana ukamjua ndani nje wala hupati tabu.

    ReplyDelete
  4. Kazi ipo hapo, wahenga alisema kupindua seriakli sio kazi, kazi ni kuongeza iyo serikali.

    ReplyDelete
  5. We weeeeeeeee!!!!!! Gado kiboko

    ReplyDelete
  6. Wekeni akiba ya chakula na misaada mingine kuisaidia Libya. Nyumba ya karata ishavurujika. Hawa basi tena katika 3rd world watashika mkia. Kwanza wanadaiwa na NATO kwa kuwasaidia vita, wazungu wametengeneza mrija wa mafuta mpaka dunia inakwisha. Na nasikia mafuta ya Libya ni Grade 1. Gadari bora meza sumu uondoke usiione Libya iliyoangamia, Mungu atakulipia. Mbona Korea ya Kaskazini NATO haithubutu kwenda. Who's next.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...