Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mh Steven Wassira akipongezwa baada ya kuwezesha bajeti ya Wizara ya Maji kupita mchana huu. Mh Wassira  alisoma hotuba na kuitetea kwa niaba ya Waziri wa Maji Profesa Mark Mwandosya ambaye yuko India kwa matibabu na habari za uhakika zinasema anaendelea vyema
 Baadhi ya waheshimiwa wakitoka bungeni kwa mapumziko ya mchana
 Mbunge wa Mbeya Mh Joseph Mbilinyi (CHADEMA) akiwa na Mbunge wa Mtera Mh Livingsgtone Job Lusinde (CCM)  wakihudhuria kwa pamoja semina ya Majukumu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la UN-Women katika ukumbi wa Pius Msekwa leo
 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, Mh Jenista Muhagama (shoto) akiwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto wakisimiamia semina hiyo ya UN-Women leo
 Waweweshaji kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la UN-Women wakijiandaa kuendesha semina hiyo 
 Baadhi ya waheshimiwa katika semina hiyo
 Ankal katika semina hiyo
Mama Anna Collins Falk, Country Programme Manager wa UN-Women akiwa tayari kutoa mada leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ankal naona umejipiga picha, kwa nini usitumie automatic function ili upozi vizuri?? Hapo unaonekana kama una mawazo ile mbaya, tena kuhusiana na madeni.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...