Afisa Mfuko wa Hiari wa Kujiwekea akiba uzeeni (GEPF) Aziza Selemani akitoa ufafanuzi kwa mwananchi aliyetembelea banda la Wizara ya Fedha kwenye maonyesho ya wakulima ya nane nane leo mjini Dodoma.
Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha Eva Varelian (kushoto) na Alice Kihiyo (kulia) wakimhudumia mteja leo mjini Dodoma wakati wa maonyesho ya nane nane yanayoendelea .
Afisa Uhisiano wa Mfuko wa Penseni wa PPF Edward Kyungu akitoa maelezo kwa mwananchi katika banda la Wizara ya Fedha juu ya muhimu wa mfuko huo katika maonyesho ya wakulima ya nane nane yanayoendelea mjini Dodoma .
Msemaji wa Wizara ya Fedha Ingiahedi Mduma (kulia) akibadilishana mawazo jana na Onni Sigara(katikati) na Adamu Msumule (kushoto) wakati wa maonyesho ya wakulima ya nane nane yanayoendelea mjini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...