Dear all
 Sasa hii michezo ishaanza huko TANESCO,Ni full shangwe! hebu angalia hiyo mimara nayo imeamua kucheza mchezo wa kuruka kamba. Sasa watanzania  tunahadhimisha jubilee ya miaka 50 ya uhuru kwa burudani hii.MGAO WA UMEME UTAKUWA HISTORY HIVI PUNDE,
STAY TUNED!

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...