Home
Unlabelled
Wengi wajitikeza kufanya mazoezi kwenye viwanja vya kijitonyama jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
SAFI SANA, MAZOEZI YANA FAIDA NYINGI KWA TAARIFA YENU!
ReplyDelete-Hakuna magonjwa ya Moyo, Pressure, n.k
-Yanakufanya uishi maisha marefu bila kuzeeka
-Yanakufanya uwe Mkakamavu na mwenye nguvu
-Yanakufanya upunguze mawazo au msongo wa mawazo
-Yanakufanya uwe na siha nzuri, afya iliyotulia
**Tumia muda wa nusu saa tu kila siku, ukitoa jasho*** Utaona hiyo faida.
***ONYO..."USIBUGIE MSOSI" sana hasa baada ya mazoezi, bali ule vyakula vyenye virutubisho...Punguza mipombe, au acha kabisa, usivute sigara....usipuuzie mazoezi na ushauri!!... Mimi nina miaka 50 sasa ila utadhani nina miaka 30 vile..*ndo ushuhuda wangu huo**
***Mdau-Manchester, UK***
Vodacom wamekuwa mstari wa mbele kusaidia kuimarisha afya za Watanzania... endeleeni na moyo huo jamani si lazima kutoa misaada hospitalini tuu.. ni bora kufanya mazoezi na kuzuia non communicable diseases
ReplyDeleteNasisi tunaoumwa miguu tutafanyaje? kuna mazoezi ya watu wa namna hiyo?
ReplyDeleteni nzuri lakini je ni endelevu?? yaani ni suala la kufanyika kila baada ya muda fulani au ni moto wa kifuu tu?
ReplyDelete