Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo(kushoto) akibadilishana hati ya msaada wa kiasi cha bilioni 133 na Mwakilishi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(ADB) Tonia Kandiero(kulia) mjini Dar es salaam kwa ajili ya miradi ya kilimo na elimu nchini.
Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo(katikati) akijibu maswali ya waandishi wa habari (leo)mjini Dar es salaam mara baada ya kupokea hati ya msaada wa kiasi cha bilioni 133 kutoka kwa Mwakilishi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(ADB) Tonia Kandiero(kulia) kwa ajili ya miradi ya kilimo na elimu nchini.Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO-Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. KAMA HIZO HELA ZITAONEKANA ZILIPOPITA HAHAHAAAAAAA TZ WEEEEE YANI ZINAISHIA KIMYA KIMYA WAGAWANE KAMA KAWAIDA YAO UFISADI TUU NCHI HII INABOA ILA IPO SIKU

    ReplyDelete
  2. kila mwezi mnapokea mabilioni ya misaada na mikopo shame on u nchi haina huduma kwa jamii haina usafiri haina maji haina umeme watu wanakufa kutokana na kukosekana kwa meli za maana za kusafirishia raia

    mtakufa masikini kwa roho zenu mbovu tumechoka na nyiyi tutawaombea kila sala mpaka tuhakikishe mnaangamia

    ankali usibane wenzio msiba umetuhusu tumepotelewa na mama na mama mdogo kutokana na serikali mbovu kutojali maisha ya raia wake

    kila goti litapigwa siku ya siku ikifika jazeni matumbo somesheni watoto wenu nje endesheni magari ya mamilioni lakini kaburi linamhusu kila mmoja wetu

    chonde chonde ankali ukibana hii utanizidisha munkali naweza fanya kitu mbaya.

    ReplyDelete
  3. Hivi huwa msaada kibongobongo (GRANT) au mkopo (LOAN)?. Inawezekana ikawa ni tafsiri mbofumbofu kutoka neno AID. Tunaomba tuwe tunapewa tafsiri sahihi maana uwezekano ni mk0ubwa huo unaoitwa 'msaada' tutalipa kwa kodi zetu, tena kwa faida!

    ReplyDelete
  4. Cheki Mkulo anayochekelea! Hahahaha! Mkulo alisha dai bila posho nchi itayumba! Hahahahaha! Mungu ibariki Tanzania!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...