Wanachi wa Seirra Leone,Afrika magharibi wamejikuta wakikosa usingizi na kushikwa na ugonjwa kupenda mdundo wa muziki wa dansi kutoka Tanzania maarufu kama "Bongo Dansi"
baada ya vituo vya redio vya nchi hiyo kuanza kupiga nyimbo za bendi maarufu ya dansi barani ulaya "Ngoma Africa Band " aka FFU,pia magezeti ya Seirra Leone kama yanavyoandika http://www.sierraexpressmedia.com/archives/29981
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...