Bi Vicky Mgonja akipongezwa na Mkurugenzi wa Fedha Bw Philemon Minga baada ya kukabidhiwa zawadi ya kuutumikia Mfuko kwa zaidi ya miaka 20 katika sherehe iliyofanyika katika hoteli ya Blue Pearl.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa GEPF Bw Daud Msangi akimkabidhi cheti pamoja na pesa taslimu Bi Revina Kashuku kwa kuwa mfanyakazi bora 2011 na kufanya kazi GEPF kwa zaidi ya miaka 20.
Mkurugenzi Mkuu wa GEPF Bw Daud M Msangi akimkabidhi cheti cha ufanyakazi bora wa idara ya masoko Bi Hedaya Kilemile ambae ni Afisa Masoko msaidizi katika kitengo cha Mpango wa Hiari wa Kujiwekea Akiba ya Uzeeni (VSRS) huku akishuhudiwa na Mkurugenzi wa Masoko Bw Anselim Peter.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongereni sana da Vick da Revina na Shosti Hedaya.....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...