Mama Mitindo Asya Idarous Khamsin akimzawadia gauni lenye rangi ya bendera Balozi wa Tanzania Nchini Marekani na Mexico,Mh.Mwanaidi Maajar
Shamim wa 8020 Fashions akipata picha ya kumbukumbu na Mh,Balozi Mwanaidi Maajar
wakipata picha ya kumbukumbu kutoka kulia ni Waziri wa Mali Asili na Utalii Mh.Ezekiel Maige,Mh.Catherine Magige(Mbunge viti maalum CCM),Mh.Leticia Nyerere(Mbunge Viti Maalum CHADEMA) na Walter Minja wa Powering Potential
Mh.Balozi Mwanaidi Maajar(shoto)akifungua Dansi la Gala Dinner na Balozi wa Federal Republic Of Nigeria ,Mh Ade Adefunye
Juu na chini ni Wageni mbalimbali wakipiga picha na Mh Balozi Mwanaidi Maajar
King Kiki akipagawisha na kitambaa cheupe
Mh.Balozi Mwanaidi Maajar nae hakua nyuma na kitambaa cheupe

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Kaka,

    Picha ya TATU kutoka chini,kushoto kwa balozi Majaar, huyo mwenye kigauni cha kijani/bluu ni nani huyo? Naomba kumfahamu tafadhali

    ReplyDelete
  2. Mtoto wa Balozi Majaar. Kama unampango wa kumposa masharti ni kuwa uwe na Greencard na uwe graduate!!

    ReplyDelete
  3. MDAU wa 27:07 43:00am 2011.UMENICHEKESHA SANA KAKA DUH.haya kila la kheri natumaini kaka MISUPU atafuta mawasiliano ya huyo DADA unayemuulizia.
    MTANZANIA HALISI -KWA BIBI!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...