Leo tarehe 22 September ! Siku ya Kuzaliwa mwanamapinduzi Abdulrahman Mohamed Babu (RIP)
 
Professor Abdulrahaman Mohamed Babu alikuwa mwanasiasa,mwanamapinduzi msomi,mwandishi,mchumi, na ujamaa kwake ulikuwa ni mfumo wa maisha yake.


Tunapowataja na kukumbuka wakongwe wa siasa na wapambanaji waliosimama kidete kuhakikisha kuwa wafrika tunajikomboa kutoka katika makucha ya ukoloni uwe mkongweau ukoloni mambo leo,jina la marehem Abdulrahman Mohamed Babu  (RIP)alitasahulika,ambaye kama angelikuwa hai leo tarehe 22 September ndio siku yake ya kuzaliwa.
Historia inatuelezea kuwa mwanamapinduzi marehem Prof. A.M.Babu alizaliwa 22 Sept 1924huko kisiwani   Unguja,Zanzibar, na alifariki dunia 05.08.1996, marehem Prof. A.M.Babuanakumbukwa kwa mengi pamoja na kuwa engineer wa mapinduzi ya visiwani 1964 yalimfanya sultani akimbie na kusahau kiremba kitandani kama inavyojielezea video hii 


http://www.youtube.com/watch?v=-sMDkCSC_5g&feature=related

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. REST IN PEACE COMRADE!!!!!!!!!!! DAIMA TUTAKUKUMBUKA JAPO KUNA WATU HAWAELEZI UKWELI WA MAPINDUZI

    ReplyDelete
  2. Ankal Misupu asante sana kwa kutukumbusha wengi tulianza kumsahau komredi Prof Babu

    ReplyDelete
  3. Komredi hayati Babu rest in peace !!!!!!!!mchango wako katika taifa letu na bara zima la Afrika ni mkubwa kuanzia Zanzibar hadi Eretria ,wewe ndie uliye injinia mapinduzi yote ya kujikwamua,kama sio wewe reli ya uhuru(TAZARA) hisingekuwapo! dira yako ya kumuelekeza Baba wa taifa hayati mwalimu J.K.Nyerere kulekea china na kuanzisha urafi leo tuna reli ya Tazara

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...