Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood (pili kulia) akisikiliza kwa makini risala ya wanachama wa Asasi ya Antipoverty & Aids Organization (AAO) ya Mjini Morogoro, iliyosomwa na Mwekahazina wa Asasi hiyo ,Elizabeth Priscus ( kushoto) kabla ya Mbunge huyo kufungua warsha ya siku tano kwa viongozi na wanachama hao jana mjini hapa ( kushoto kwa mbunge ) ni Mwenyekiti wa Asasi hiyo, Stella Otto.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood ( kulia) akisalimiana na baadhi ya wanachama na viongozi wa Asasi ya Antipoverty & Aids Organization (AAO) ya Mjini Morogoro, mara baada ya kufungua warsha ya siku tano kwa viongozi na wanachama hao jana mjini hapa.Picha na John Nditi wa Globu ya Jamii,Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...