Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM, jimbo la Igunga, Dk. Dalaly Kafumu (kulia) akimkabidhi fomu yake kwa Msimamizi wa Uchaguzi jimbo hilo, Magayane Protace leo katika Ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Igunga mkoani Tabora.
BADHI ya walimu waliokuwa wakipata utaratibu kwa ajili ya kwenda kwenye vituo vyao kusimamia mitihani ya darasa la saba wakimsalimia mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya CCM, Dk. Dalaly Kafumu, alipokutana nao wakati akitoka kurejesha fomu yake kwa Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Igunga mkoani Tabora, leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...