Miss Universe Tanzania 2011,Nelly Kamwelu akiwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa J.K. Nyerere mapema leo asubuhi wakati akiwasili kutoka Sao Paulo,Brazil kulikofanyika fainali za Dunia za mashindano hayo.Nelly Kamwelu ameweza kuiwakilisha vyema nchi yetu katika mashindano hayo na alifanikiwa kuingia katika 16 bora na kushika nafasi ya saba kwenye mashindano ya vazi la taifa.
Miss Universe Tanzania 2011,Nelly Kamwelu akiwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa J.K. Nyerere mapema leo asubuhi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. Jamani vp.. mbona muwakilishi wetu hajapokelewa?? Au ndo watu wako bize na maombolezo??

    ReplyDelete
  2. haya dada karibu nyumbani umejitahidi vya kutosha lakini kwa bahati mbaya nafasi yetu bado haijapatikana lakini ipo siku tutapata kuwa washindi

    jambo la mchango wangu kwako ni hili
    jitahidi uwapo huko nyumbani usiwe ndio kichocheo cha ngono na kusahau kuwa unaweza kuwa ni kichocheo cha gonjwa hatari la ukwimwi

    ninasema hayo kwa maanza zifuatazo...asilimia ya watanzania wengi wenye hela au wenye vijiuwezo fulani wanapenda mambo ya kuvamia au kushindania

    sasa utakuja kuona unafatiliwa sana na hawa watu wenye vijisent kwajili wanahitaji kujionyesha kuwa wanaweza kutembea na kisura kama wewe

    matokeo ya kufatiliwa huko hakutoishia kwa mwanaume mmoja utajikuta ukichukua huyu ukiacha yule matokeo yake utakuwa ni mmoja katika vichochezi vya ngono na gonjwa sugu

    jambo la pili umetumia muda wako katika kuonyesha mavazi ya nusu utupu na kuonyesha mwili ili kujaribu kushindania taji hilo la umiss lakini kwa sasa jitahisi unapokuwepo huko nyumbani punguza mavazi ya nusu uchi

    punguza mavazi ya nusu uchi au mavazi ambayo yanatia matamanio ya ngono kwani ukifanya hivyo itakuwa unachochea ngono
    kumbuka wewe ni miss tanzania una nafasi kubwa ya kuigwa na wasichana wengi wa hapo nchini

    sasa wasije kukuiga katika kuvaa nguo za kutamanisha watu kukaribisha ngono na gonjwa sugu kuchukua nafasi yake

    asante sana.

    mdau Holland

    ReplyDelete
  3. Uzalendo mzuri sana.Ni kweli alishika nafasi ya saba katika best costumes. Dada yetu hakufika top 16 (semi-final). Nadhani mwandishi umechanganya. Waandishi muwe makini na mnachoandika bila kupotosha umma.

    ReplyDelete
  4. ulipoondoka mbona ulikuwa na begi moja? So ulienda shoping

    ReplyDelete
  5. She is hot...big up to miss tz

    ReplyDelete
  6. Nelly tunakupenda sana. Full stop.

    ReplyDelete
  7. Well done girl. You have made us proud.

    ReplyDelete
  8. We mdau unayemuusia asitupe ngono sisi wenye vijisenti, kaa na fitna zako huko. Sisi tunahitaji kuruka naye wewe unataka kutuzibia. Acha hizo.Watoto wazuri kama hawa lazima wapate walezi.

    ReplyDelete
  9. Hajafika hatua ya 16 bora niliangalia 'LIVE'.

    ReplyDelete
  10. Jamani niliangalia shindano loote nasikitika kusema hakuingia kwenye 16 bora ila vazi la taifa ni kweli sina nia mbaya ninataka kusema tu ukweli.

    Msemakweli US

    ReplyDelete
  11. lile vazi la taifa alilovaa alikuwa analiwakilisha taifa gani? Yale mavazi ni ya mpiganaji wa Kirumi, sijui kuna kabila gani hapa Tanzania linatumia!

    ReplyDelete
  12. Lile vazi la Cleopatra ndiyo lilimpatia ushindi wa juu kuwa ni vazi la Taifa hili la Tanzania?

    Hapo nimechanganyikiwa.

    ReplyDelete
  13. HAKUFIKA TOP 16 SOMA HAPA

    http://semasikika.blogspot.com/

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...