Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo katika Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Mh. Leonard Thadei (wa sita kutoka kushoto waliosimama mbele) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano wa Tanzania Marketing Communication Confrence (TMCC) uliofanyika katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam leo, ukiwashirikisha wataalamu wa masoko toka makampuni mbalimbali hapa nchini.
Home
Unlabelled
mkutano wa mawasiliano wa masoko tanzania TMCC
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...