Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhandisi Rymond Mushi (kulia) Akimkabidhi mkuu wa chuo cha VETA Moshi Bw Daniel A. Komba kifaa cha udhibiti wa kemikali haribifu kwa Tabaka la Ozone katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya hifadhi ya tabaka la ozone yaliyofanyika Mjini Arusha Leo. (Picha na Evelyn Mkokoi wa Ofisi ya Makamo wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...