Madereva  wakimaliza kazi ya kubadili tairi la  gari la Mkuu wa Mkoa wa Morogoro lililopata pancha, baada ya kulishughulikia ubadirishaji  ndani ya Pori la Akiba la Selous eneo la Matambwe.
"...Waheshimiwa karibuni jamani...Hapa ndio kwetu inaonekana akisema Tembo anayejivinjari nyuma ya gari la Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mh. Said Mwambungu, mara baada ya kufika makao makuu ya Ofisi za Kanda la Matambwe , Pori la Akiba la Selous 


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mh. Issa Machibya (watano kutoka kulia)akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa wanyamapori , Askari na watendaji wengine wa Wilaya ya Morogoro na Mkoa, baada ya kufanyika kikao cha pamoja. Wa saba kutoka kulia waliosimama ni Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mh. Said Mwambungu. Picha na John Nditi wa Globu ya Jamii, Selous

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ni vyema viongozi na watanzania kwa ujumla tujenge mazoe ya kutembelea hivi vivutio vilivyopo nchini mwetu.
    Inasikitisha sana kuona raia wa nje ndio wanavijua na kuvitembelea kwa wingi wakati sisi wenyewe hatuna hata idea navyo.

    Pongezi kwa mkuu wa mkoa wa Morogoro na timu yake kwa kuonyesha njia.

    http://tembeatz.blogspot.com/

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...