Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Ban Ki- Moon kwenye Makao Makuu ya Umoja Mataifa jijini New York nchini Marekani.
Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akihudhuria mkutano wa 'Social Good Summit' anapokea tuzo kutoka United Nations Foundartion for his work in Martenal Health and Social Media Commitment kutoka kwa Makamu wa Rais wa Public Policy of United Nations Foundation Mr. Peter Yeo katika sherehe fupi iliyofanyika jijini New York jana.
Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kwenye mkutano wa 'Social Good Summit'
Rais Dr. Jakaya Kikwete akifanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Luxembourg, Mh. Jean Asselborn wakati wa kikao cha 66 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko New York nchini Marekani jana.
Rais Dr. Jakaya Kikwete akizungumza na Rais wa Slovenia Dr. Danilo Turk kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York jana. Viongozi hao wanahudhuria kikao cha 66 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kilichoanza tarehe 19.9.2011.
Picha na John Lukuwi
Picha na John Lukuwi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...