Wanachama wa klabu ya Michezo ya Biafra kwa kushirikiana na uongozi wa 90 Degrees Pub unatoa rambirambi zao kwa ndugu, jamaa, marafiki na kwa watanzania wote kwa ujumla kwa msiba uliolikumba taifa kutokana na ajali ya kuzama kwa meli ya Mv Spice huko Zanzibar na kuuwa watu zaidi ya 200.

Mwenyezi Mungu awape nguvu wafiwa wote na azilaze roho za marehemu wote mahala pema peponi Amen

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...