Wanachama wa klabu ya Michezo ya Biafra kwa kushirikiana na uongozi wa 90 Degrees Pub unatoa rambirambi zao kwa ndugu, jamaa, marafiki na kwa watanzania wote kwa ujumla kwa msiba uliolikumba taifa kutokana na ajali ya kuzama kwa meli ya Mv Spice huko Zanzibar na kuuwa watu zaidi ya 200.
Mwenyezi Mungu awape nguvu wafiwa wote na azilaze roho za marehemu wote mahala pema peponi Amen
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...