Mbunge wa jimbo la Mvomero mkoani Moropgoro (CCM) Amos Makala (kushoto) akikabidhi compyuta na printa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya shule ya Msingi Changarawe iliyopo Kata ya Mzumbe, Makunza Mloka. Makabidhiano hayo yalifanyika hivi karibuni shule hapo baada ya Mbunge huyo awali kuipa fedha shule hiyo kwaajili ya kuingia umeme uliogharimu zaidi ya sh Milioni 4. Anaeshuhudia katikati ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Cryspin Chimbamizungu.
Home
Unlabelled
shule ya Msingi Changarawe yapokea msaada wa kompyuta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...