Stephen Chuwa na Ankal wakiwa na Mwenyeji wao, Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya  Radio ya Umoja wa Mataifa,  Bi Flora Nducha kwenye ofisi za muda za kituo hicho jijini New York leo.
 Flora Nducha akifanya mahojiano na Stephen Chuwa wa ITV kuhusu mkutano wa 66 wa Umoja wa Mataifa unaoendelea jijini New York
Ankal and Stephen Chuwa wakiwa na baadhi ya wafanyakazi wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa walipotembelea kituo hicho jijini New York leo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Safi sana Flora Nducha, ITV Radio One wanatoa vichwa vya nguvu, sio wakina Millard wanatoka hapo na kwenda Radio ya watu ..........

    ReplyDelete
  2. ankali nakumind sana mpango wako wa kubana comment za watu alafu unaita hii blog ya jamii sasa sielewei jamii hiyo ni ipi

    watu wanatuma comment za kawaida tu bila kuchafua hali ya hewa wewe unazikaushia sio uungwana badilika mkuu haipendezi.

    ReplyDelete
  3. michuzi shushushu, kila kukicha uko juu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...