Rais wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), Mussa Mziya (kulia) akikabidhi bendera ya Taifa kwa nahodha wa timu ya wachezaji wa mpira wa kikapu chini ya miaka 16 Mrumbia Issa jijini Dar es Salaam Jana Jumanne Septemba 13, 2011. Timu hiyo imeondoka leo Jamatano Septemba 14, 2011 kwenda Nairobi, Kenya, kushiriki fainali za timu kutoka ukanda wa Coca-Cola wa Afrika Mashariki, Kati na Afrika Magharibi (CEWA). Nyota wa fainali hizo watachaguliwa kwenda Marekani kwenye mafunzo zaidi chini ya udhamini wa Coca-Cola kupitia kinywaji chake cha Sprite.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. NYIE MNAENDA WAPI NA SIYE TUMEFIWA? KAMA HAMJAONA KWENYE TV JAMANIII. KAENI NYUMBANI HUKO.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...