Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Denmark nchini, Mh. Bjarne Henneberg Sorensen ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam leo kwa ajili ya kumuaga.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa China nchini, Mhe. Liu Xinsheng, kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam leo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Sijafurahishwa na wingi wa makabrasha ktk Meza ambayo naamini ndio meza kuu ya ofisi ya PM...Picha ya pili akiwa na balozi wa China

    Nilidhani Serikali imeachana na mfumo huu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...