Mmoja wa watumishi wa Duka la Seifi lililopo mjini Morogoro akihamisha baadhi ya vifaa vya umeme baada ya Duka hilo kushika moto na kuteteteza sehemu ya bidhaa hizo jana mjini humo.chanzo cha moto huo mpaka sasa hakifaweza kufahamika.
Baadhi ya wafanyabiashara raia wa Tanzania wenye asili ya kiasia na wengineo wakiangalia vifaa vilivyoungua moto,baada ya duka la Seifi la mjini Morogoro kuungua moto.Picha na John Nditi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...