Mkurugenzi wa benchmark production, Madame Ritha Poulsen akiwa katika picha ya pamoja na Mwanamuziki toka nchini Nigeria,afahamikae kama Mr Flavour (kulia) na Mwanamuziki Daniel Kagonzo pindi wanamuziki hao walipowasili nchini mchana wa leo.Wakali hao watapamba shoo za fainali za Bongo Star Search zitakazofanyika kesho kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee,jijini Dar es Salaam.
Home
Unlabelled
Mr Flavour na Daniel Kagonzo wawasili nchini leo tayari kwa shoo ya BSS kesho
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...