Mkurugenzi wa benchmark production, Madame Ritha Poulsen akiwa katika picha ya pamoja na Mwanamuziki toka nchini Nigeria,afahamikae kama Mr Flavour (kulia) na Mwanamuziki Daniel Kagonzo pindi wanamuziki hao walipowasili nchini mchana wa leo.Wakali hao watapamba shoo za fainali za Bongo Star Search zitakazofanyika kesho kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee,jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...