Mkuu wa Vodacom kanda ya Pwani Atilio Lupala(kushoto)akimwelezea mshindi  wa luninga Sylvester Stewa baada ya kujishindia luninga hiyo katika   promosheni ya Mega inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ambapo  wateja hushiriki na kushinda luninga na fedha taslimu kila siku,katika Afisa masoko wa kampuni hiyo Simon Mwambapa
 Mkuu wa Vodacom kanda ya Pwani Atilio Lupala(kushoto)akimkabidhi hundi yenye thamani ya Tsh Milioni 11 mshindi wa  promosheni ya Mega Mume wa Lady Jay Dee Gardner Habash(kulia)inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ambapo  wateja hushiriki na kushinda luninga na fedha taslimu kila siku,katikati Meneja wa Vodacom Henry Tzamburukas

 Mshindi wa promosheni ya Mega inayoendeshwa na Vodacom Tanzania Gardner Habash(kulia)akiangalia hundi yake yenye thamani ya shilingi Milion 11 baada ya kukabidhiwa rasmi na Meneja wa Vodacom Henry Tzamburukas,kulia ambapo wateja hushiriki na kujishindia fedha taslimu na luninga ya kisasa kila siku.
 Mkuu wa Vodacom kanda ya Pwani Atilio Lupala(kushoto)akimuangalia mshindi wa   Tsh Milioni 11, Juvenal Kwayu akifurahia hundi yake aliyejishindia katika promosheni ya mega inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ambapo kila siku wateja hushiriki na kushinda luninga na fedha taslimu.
 Mshindi wa Tsh Milioni 11, Juvenal Kwayu akifurahia hundi yake aliyejishindia katika promosheni ya mega inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ambapo kila siku wateja hushiriki na kushinda luninga na fedha taslimu
Mkuu wa Vodacom kanda ya Pwani Atilio Lupala(kati)akiwa na washindi  wa luninga  kujishindia luninga hiyo katika   promosheni ya Mega inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ambapo  wateja hushiriki na kushinda luninga na fedha taslimu kila siku,katika Afisa masoko wa kampuni hiyo Simon Mwambapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...