Assalaamu Alaykum
Kwa niaba ya Madrasatun Nuur Leicester UK, kwa kutekeleza malengo tuliyoyaazimia katika mwezi wa Ramadhani, Inshaallah Masomo ya Dini ya Kiislamu kwa watu wazima, wake kwa waume, yataanza rasmi JUMAMOSI TAREHE 8-11-2011 kwa utaratibu huu:
JUMAMOSI: Darasa la kinamama
JUMAPILI: Darasa la Kinababa
MUDA: Kuanzia Saa Nane na Nusu mchana mpaka Saa Kumi na Nusu Jioni (2.30pm-4.30pm)
MASOMO: Quran, Tafsiri, Fiq h, Islamic Studies (inayojumuisha Tawheed, Seerah, Historia, Maadili nk)
PAHALA: 1st Floor, Kocha House, Malabar Road, Leicester, UK, LE1 2PD
Shime ndugu zetu tujiandikishe kujiunga ili tuongeze ufahamu wa dini yetu.
Tafadhali tuwaarifu wenzetu.
Wa Billahi Tawfeeq
Madrasatun Nuur Leicester
Simu: 07982124581 / 07792174408 / 07404711889
email: fcalwattan@gmail.com
Kwa niaba ya Madrasatun Nuur Leicester UK, kwa kutekeleza malengo tuliyoyaazimia katika mwezi wa Ramadhani, Inshaallah Masomo ya Dini ya Kiislamu kwa watu wazima, wake kwa waume, yataanza rasmi JUMAMOSI TAREHE 8-11-2011 kwa utaratibu huu:
JUMAMOSI: Darasa la kinamama
JUMAPILI: Darasa la Kinababa
MUDA: Kuanzia Saa Nane na Nusu mchana mpaka Saa Kumi na Nusu Jioni (2.30pm-4.30pm)
MASOMO: Quran, Tafsiri, Fiq h, Islamic Studies (inayojumuisha Tawheed, Seerah, Historia, Maadili nk)
PAHALA: 1st Floor, Kocha House, Malabar Road, Leicester, UK, LE1 2PD
Shime ndugu zetu tujiandikishe kujiunga ili tuongeze ufahamu wa dini yetu.
Tafadhali tuwaarifu wenzetu.
Wa Billahi Tawfeeq
Madrasatun Nuur Leicester
Simu: 07982124581 / 07792174408 / 07404711889
email: fcalwattan@gmail.com



barak allahu fikum, allah awape mwangazab na nuru ktk masomo yenu.
ReplyDeleteInsh'Allah Mwenyezi Mungu (SWT) awalipe waandaaji kwa kulifanikisha hili.
ReplyDelete