Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Asante Mwalimu.

    ReplyDelete
  2. Nyerere Alikuwa madarakani kwa miaka 25. Hivi kwa nini hotuba mnazotuletea ni mbili tu na mnazirudia rudia kwa miaka zaidi ya kumi sasa? Si magazeti, TV, Blogs..., tena ni zile alizozitoa baada ya kung'atuka! Hivi hakuna nyingine?

    ReplyDelete
  3. Ni kitu cha kushangaza sana ukifikilia Katika maisha yote ya uongozi wa Mwalimu Nyerere katika siasa iliyokuwa imeshika hatamu ambapo kila siku baada ya taarifa ya habari ya saa mbili usiku tulikuwa tunalazimika kusikiliza hotuba zake. Sasa ni karibu miaka 12 baada ya Mwalimu kututoka bado tunapata hotuba ambazo hazizidi mbili tu za video.
    Tatizo blog nyingi za Watanzania zinaendeshwa kwa copy & paste. Nini maana ya kuwa na maktaba maalum ya Mwalimu Nyerere wakati kazi zake hata hazipatikani au tatizo ni uandishi wetu wa habari za mazoea na usiokuwa na kina hata hatuwezi kujisukuma kupata kazi zake kwenye video.
    Jamani waandishi, mjaribu hata kidogo kuzifanya kazi zenu angalau ziendane na nchi inayokaribia miaka 50 ya uhuru katika dunia ya karne ya 21.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...