
Waziri wa Maliasili na Utalii,Ezekiel Maige (pili kushoto) pamoja na Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza,Chabaka wakipokea zawadi ya mpira
Salam,
Leo ilikuwa ni siku ya jumuiya ya Afrika mashariki ambayo hufanyika kila mwaka katika maonyesha ya WTM hapa nchini Uingereza. Kwa kawaida sherehe hizi hufanyika katika banda la nchi ambayo ni mwenyekiti wa Afrika Mashariki, kwa hiyo mwaka huu tafrija hii ilifanywa kwenye banda la ndugu zetu wa Kiburundi.
Asanteni,
URBAN PULSE CREATIVE
Asamoah Gyan alipotembelea Banda la Tanzania
Asamoah na wapenzi wake kutoka Tanzania
Frank, Bw Issa na Bi Jestina
Mwenyekiti wa bodi ya utalii ya Uganda akiwa na Bw William Byeruhanga
Waheshimiwa Ephraim Kamuntu, Najib Balala na Victorie Ndikumana (1)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...