Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. looking good

    ReplyDelete
  2. Ahaaaa naona hapo Radio ya kurekodia mpira wa Simba na Yanga. Timu ikishinda kila siku unasikiliza kanda mpaka mechi ijayo.. Those days!!
    Mimi

    ReplyDelete
  3. yaani ilikuwa kazi kweli kweli, lakini OLD IS GOLD

    ReplyDelete
  4. Haaa Haaaaa Haaaaaa Haaaaa, Ankal Wewe Umenikumbusha mbali sana, Yaaani, Nimewakumbuka Ankal zangu na anti zangu, enzi hizi,walikuwa machehi sista kweli kweli na Mabitoooz wa nguvu, jamani tumetoka mbali Shati la Kubana, Suluali unapimwa nyonga tu na urefu, Huko chini upana Haaa Haaaaa Haaa mwisho wa kitambaa , Nywele Zinachomwa na mafuta ya ng'ombe (Samli) Haaa haaa, Ilikuwa Laha !, Zinasimama hizo, Viatu vilikuwa hamna, Kata Mbuga na kanda mbili za Bora .
    Walahih ! Ankal.

    Ankal ananiambia kuwa enzi hizo, Kumchumbia demu au kumtaka demu, basi jiandae majibu ni baada ya miezi sita.

    ReplyDelete
  5. Ankali hao cha mtoto tu enzi hizo mambo yao safi

    mimi nakumbuka picha zangu nilikuwa napiga huku nimeshika chupa za pepsi au mirinda chupa tupu hata soda yenyewe sijakunywa mimi

    na picha nyingine niliwahi kumuuliza mpiga picha alivyoniletea kuwa mbona maneno hayajatokea wakati nilipopiga nilikuwa naongea hahaha

    huwezi kuamini ni ukweli mtupu enzi za mwalimu ilikuwa kaazi kweli kweli

    ReplyDelete
  6. people were a lot healthier then than we are now.
    What happened to our big vitambis ?
    Lord forbid !

    ReplyDelete
  7. Duh! enzi za mwalimu watu walikuwa choka mbofu namna hii?

    ReplyDelete
  8. hapa watu walikua hawaitaji diet wala nini umbo la kuzaliwa bila mgogoro na afya zilikua nzuri no presha wala bp or shell kama sasa watu wanasema enzi ya mwallimu wamechoka hapana sasa ndio wamechoka wavimba kwa stress wakjona wana afya yakale hayapo hata kama ni gold ingekuwa inarudi ningetamani ni wa kwanza

    ReplyDelete
  9. Michu, katika hizo picha wewe umekaa wapi?

    ReplyDelete
  10. nakumbuka enzi zile nikiwa bado sijabalee, nilipigaga picha huku najifanya nakunywa chibuku empty bottle. Cha kushangaza ni jamaa wa studio ndiyo aliyeniambia nipozi huku nakunywa chibuku, jamani inakuja kichwani kweli hii? Eti mtoto kapozi anakunywa chibuku.

    ReplyDelete
  11. Hizo kapeti za studio nakumbuka mbali sana. Moja ya vigezo vya studio ilikua kapeti

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...