Katibu tawala wa mkoa wa Iringa Getrude Mpaka (katikati) na baadhi ya viongozi wa mkoa wakitembelea banda la maziwa la Asas Dairies Ltd Iringa katika maonyesho ya miaka 50 ya uhuru yanayoendelea kuifanyika katika uwanja wa Samora,Mkoani Iringa.
Askofu Boaz Sollo akiwa aomeongoza na wafanyakazi wa kituo cha radio Overcomers Fm na mgeni wake kutoka nje ya Tanzania ,kutembelea maonyesho ya miaka 50 ya Uhuru yanayofanyika kwenye katika uwanja wa Samora,mkoani Iringa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...