Khadija Ngodah mwanadada mtanzania aisihe mjini Reading Uingereza amelamba nondoz kutkoa chuo kikuu cha West London kilicho kuwa kinajulikana kama Thames Valley University (TVU) na kuibuka na Bachelors of Art (Hons) in Business with Human Resources Management. Tunapenda kumpongeza sana ndugu yetu huyu kwa juhudi na mafanikio hayo na pia kuwatia moyo wanawake wengine wote maana 'tunaweza'!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hongera sana mate kwa juhudi zako ktk maisha...cheers :)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...