Mkurugenzi wa African Stars ASHA BARAKA pamoja ofisa wa Ubalozi nchini Uingereza AMOSI MSANJILA wanazungumzia kuhusu maandalizi na matayarisho kwa ajili ya ziara ya Twanga Pepeta "KISIMA CHA BURUNDANI'' nchini Uingereza katika Kuazimisha miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara. 
Show hii itafanyika jumamosi Tarehe 26 November 2011 katika 
Ukumbi wa Club 2000(Silver Spoon)Savoir Banqueting Suite, Popin Building Southway,
Wembley HA9 0HB.
Asante,

Urban Pulse Creative
http://www.youtube.com/watch?v=xQQx2A59kMw&feature=channel_video_title


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hii safi sana. Hongera ASET na Ubalozi wetu wa Bongo kwa kutuletea hii burudani safi ya Twanga Pepeta mjini London. Hope hamtoishia London tuu, mtembelee pia watu wa Birmingham/ Milton Keynes na LEICESTER

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...