Uongozi wa Tanzanian Muslim Community of Washington DC Metro (TAMCO) una furaha kuwakaribisha Watanzania wote wa DC Metro  pamoja na wa States za karibu katika sherehe za Eid El AL- HAJJ zitakazofanyika siku ya Jumamosi Novemba 12,  2011

Mahali:
 The Universities at Shady Grove
Conference Room
Bldg II-1412 Rockville SG II - 1st Floor
Bldg II-1402 Potomac SG II - 1st Floor
9630 Gudelsky Drive
Rockville, MD 20850
phone: (301) 738-6059

Muda: 4:00 PM - 9:00PM

                                                                     Wenu uongozi 
                                                                              
                                                                       TAMCO
                                                                http://tamcousa.org

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. eid ni tarehe sita leo na si 12 labda watakuwa wamekosea na eid ni siku tatu tu ambazo ni yaumu tashriq sasa hiyo ya 12 labda ni chrisrmass maandalizi.

    ReplyDelete
  2. Wewe nini wewe mdomo mkubwa tu; Angalia Quruan na Hadithi zinasema nini kuhusu 10 days za Aidil Al HAJJ. (Days after Arafat)

    Pia hawa Jamaa hawakusema kwenda kuswali Idd, wamesema kusheherekea inawezekana watakuwa na speeches, michezo kwa watoto, na nk; Sasa kama unaleta uswahili wa Kuwaonea Donge na Roho mbaya za Kitanzania. Wacha Hzio au Stress zimekuzidi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...