Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. hivi Ankal kuna ufafanuzi ama utaratibu wowote unaotuwezesha na sisi watu wa ughaibuni kununua nyumba hizi, kama upo unaweza kutuwekea kwenye blog yako, kwani nimecheki kwenye http://www.nhctz.com/ sikupata maelezo yoyote. natanguliza shukrani Ankal

    ReplyDelete
  2. Bwana Michuzi waulize hawa jamaa wa NHC hizi nyumba wanazoziuza ziko wapi. Mimi napita makutano ya barabara za Morogoro na Shekilango karibu kila siku lakini sijawahi kuona nyumba mpya au hata dalili ya kujengwa nyumba mpya eneo hilo. Ninachokiona hapo na yale magorofa chakavu ya NHC Ubungo.

    ReplyDelete
  3. hi ankal,hizi nyumba zinaonekana ni nzuri,hebu naomba uniulizie zinaatikana kwa sh. ngapi? na terms of payment inakuwaje? kidhungu kinanichanganya.kama nikienda nhc hq niulizie room no ngapi.asante sana kwa kutuhabarisha,ubarikiwe mama l

    ReplyDelete
  4. Tahadhari tu na ujenzi wa maghorofa. Uwiano wa idadi ya watu na huduma kama vile viwanja vya michezo unapokuwa kombo uhalifu huongezeka.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...