Wanariadha walioshiriki katika mbio za Bendera ya Taifa za Kili wakiwa wameshika bendera zenye rangi nne za bendera ya Taifa tayari kumkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mjini Alhaj Musa Samizi baada ya kuwasili mjini hapo. Mbio hizi ni sehemu ya Kampeni ya Kili Jivunie uTanzania ambayo inaenda sambamba na sherehe za miaka 50 ya Uhuru chini ya udhamini wa Bia ya Kilimajaro Premium Lager.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hizi mbio zina ajenda gani? Lazima kuna politics hapo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...