Baadhi ya Washiriki wa Warsha ya Rasim ya Muongozo wa Kusimamia Mafuta ya Kupozea Mashine na Mitambo ya Viwanda (Polychlorinated Bipheny, PCB) inayofanyika kwenye Hotel ya Bilinda Mjini Dar es Salaam
Washiriki wa Warsha ya Rasim ya Muongozo wa Kusimamia Mafuta ya Kupozea Mashine na Mitambo ya Viwanda (Polychlorinated Bipheny. PCB) wakiwa katika Picha ya Pamoja Mara Baada ya Ufunguzi wa Warsh huko kwenye Hotel ya Bilinda Jijini Dar es Salaam(Picha na Ali Meja).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kwanini hayo mafuta yanahitaji usimamizi maalum? Kuna madhara gani kama hakuna huo usimamizi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...