10 December 2011 STOCKHOLM,SWEDEN
JUMUIYA YA WATANZANIA SWEDEN IKISHIRIKIANA NA UBALOZI WA TANZANIA, UNAPENDA KUWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE,MARAFIKI NA WATANZANIA WAISHIO NCHI ZA NORDIC KATIKA SHEREHE YA UHURU. SHEREHE ITAFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 10/12/2011 STOCKHOLM.
UKUMBI: KISTA TRÄFF KISTA TORG 7
WAKATI: 11.00 jioni HADI 7.00 usiku
SHEREHE ITAFUNGULIWA SAA 17.30 NA USIKU KUTAKUWA NA MAONYESHO YA MAVAZI, STAGE SHOW, VICHEKESHO,MUSIKI  NA MENGINEYO MENGI TUU!
KUTAKUWA HAKUNA KIIINGILIO...NI BURE
ISIPOKUWA VYAKULA NA VINYWAJI VITAUZWA

Omar Bukwa: 0704671940; Adrey Mulashani: 0737106092; Seynab Haji: 0706508823

WOTE MUNAKARIBISHWA KATIKA SIKU HII YA PEKEE DUNIANI..!

                                                  

JUMUIYA YA WATANZANIA IKISHIRIKIANA NA UBALOZI WA TANZANIA, SWEDEN.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Michuzi, Inawezekana ninahitaji miwani ili nione vyema. hii logo hapo juu naona kama inasomeka vibaya. Au lugha gongana kwangu

    inasema hivi.

    WE DARED, WE SUCCEEDED, WE ARE FORGING AHEAD. Hii ndivyo ilivyokusudiwa naomba wataalam wa legha wanisaidie tafsiri.

    ReplyDelete
  2. MUALIKO KUHUDHURIA SHEREHE ZA UHURU WA TANZANIA NA WANANDUGU SWEDEN::::::::::::::::::::::::

    Wandugu kwa kiasi kikubwa wengi tuna hamu kubwa ya kutaka kushiriki nanyi sherehe mbalimbali huko nje haswa kwenu Sweden,,,isipokuwa udhalimu mkubwa wa Maafisa Ubalozi wa Sweden na nchi zingine za magharibi unatukwamisha!

    WAO WA SWEDEN NA WAZUNGU WENGINE WAKIJA KWETU TANZANIA WANA GONGEA PASIPOTI ZAO UWANJA WA NDEGE WAKIFIKA, LAKINI SISI WANATU SHINIKIZA KUOMBA VIZA , NA WAJINGA KAMA UBALOZI WA MAREKANI NA UINGEREZA WANAWAJAZISHA WATU MAFOMU KWA MTANDAO AMBAYO YANA USUMBUFU MKUBWA!

    HEBU, NDUGU ZETU JARIBUNI KUWASHUKIA HAWA WATU KTK MAMLAKA ZAO HUKO!.

    Sio kweli kuwa kila muomba viza ana mpango wa kuhamia huko ughaibuni, watu wengine kama mimi hata Passport ya bure ya Sweden wakiwa tayari kunipa sitako ngó nime ridhika na Utanzania wangu kwa vile nafanya shughuli zangu Bongo na napata pesa ya kutosha!

    Mdau, Dar Es Salaam.

    ReplyDelete
  3. Kama unafanya biashara nzuri bongo na una evidence to back you up sioni kwa nini unyimwe visa,tatizo watu hawawezi kujieleza ndo maana wazungu wanafikiria hutarudi.

    ReplyDelete
  4. Mdau wa 3 kutoka juu, hawa watu wa ubalozi za nchi za Magharibi hawana mantiki katika maamuzi ya kutoa viza zao,,,nimeshuhudia watu na kazi zao zenye vipato wenye uhakika na maisha na wanavyo vigezo wananyimwa viza halafu wanatoa viza kwa wacheza ngoma wa vikundi vya sanaa na mashoga wa Bongo walio safarini kwa mapumziko ya fungate tena huko huko Sweden!.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...