Mwakilishi Mkazi wa UNOPS nchini Sierra Leone Bw Omary Mjenga akiwa na Mwakilishi Mkazi wa UNAIDS Bi. Mulunesh, raia wa Ethiopia, kwenye sherehe hizo, ambazo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Sierra Leone Mh Ernest Koroma. Bi Mulunesh aliwahi kuwa Mwakilishi Mkazi wa UNAIDS nchini Tanzania mwaka 1996 hadi 2000.
Home
Unlabelled
MDAU OMARY MJENGA NA SHEREHE YA MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI NCHINI SIERA LEONE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KWA HIYO MJENGA NI MWAKILISHI WA UNOPS YA SIERRA LEONE AU NI MWAKILISHI WA UNOPS NCHINI TANZANIA AKIWA SIERRA LEONE?
ReplyDeleteJUST KUULIZA MANAKE KISWAHILI KIMENICHANGANYA HAPO WADAU. NIFAFANULIENI KISTAARABU TU...PLEASE.
KAMA NI M'BONGO ANAFANYA KAZI UNOPS KWA KUWAKILISHA SIERRA LEONE, BIG UP MJENGA. MANAKE HATA T SHIRT INA FLAG YA SL.
CHEERS