Mdau na mpiganaji machachari Idd Ligongo, hivi juzi kati alikula Nondozzz  ya "master of arts in communication," kutoka chuo kikuu cha Wichita State University, kilichopo Jimboni Kansas, nchini Marekani.
 Mpiganaji Ligongo  baada ya kuchukua cheti chake.
Mdau akiwa na mai waifu wake Mary-Mzubwa Ndaro, hii inakuwa kama vile mdau karudisha bao baada ya mai-waifu wake kula nondo toka chuo hicho hicho hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. safiiiiiiiiiiiiiiiiiii

    ReplyDelete
  2. Hongera sana Iddi Ligongo (Biko), kutoka kwenye kuigiza na akina Cheni na Muhogo Mchungu hadi Masters. Safi ana na Mungu akusaidie uweze kusonga mbele. Big up sana

    ReplyDelete
  3. Hongera sana Idd Ligongo aka Biko. Wengine waige mfano wako.

    ReplyDelete
  4. hongera sana kaka.

    ReplyDelete
  5. Congratulations!!
    Yaani kweli Mungu mkubwa, ongeza bidii kaka. Nadhnai wasanii wengine nao waige mfano jaman, maana wengine wameshajisahau na wanaona wamefika.

    ReplyDelete
  6. Kijana hongera sana kwa kuwa mfano kwa wasanii wengine. wewe umedhihirisha kuwa inawezekana! Nakupa big up na kukutakia mafanikio mengi zaidi

    Mdau

    ReplyDelete
  7. Hongera sana Baba na Mama Delgado, great achievement my wadogos! Much greetings from Femina HIP Family...tutaenda tena Songea kufanya prog ya Safe Motherhood...Congrats!

    ReplyDelete
  8. Kwa kweli wewe Mwanamke Mary unatisha, mambo yako ni bomba sana umemuita Mume kuja kusoma Masters Kaitika leo hii mnaongea lugha moja.hongereni sana. Iddi umewafundisha wanaume wengine kuthamini michango ya wake zao. kwel iinapendeza. Nawatakia kila laheri.
    Mdau
    South Korea

    ReplyDelete
  9. Hongera Iddi Ligongo, umepiga hatua na kudhihirisha katika karatasi vipaji vyako asilia katika fani. VOA team

    ReplyDelete
  10. Hongera sana Idd, Mary wewe ni jembe mama kwa jinsi ninavyokufahamu na PhD someni kabisaaa! songeni mbele na Mungu atawabariki. Sijamwona Delgado mmemwacha wapi??

    ReplyDelete
  11. Hongera Kaka Iddi Ligongo a.k.a Biko. Hongereni tena kwa kupata baby mana last tm nilimwona wifi akiwa mambo safi Hope MUNGU NI MWEMA baby atakuwa hajambo. Msalimieni baby pia.@ your fan..!!

    ReplyDelete
  12. Idd kaka yangu hongera sana sana, naamini wasanii na watangazaji wanaojiona wamefika waige mfano kwako Keep it up bro

    Mdau

    ReplyDelete
  13. hongera Idd umenifanya niipende fani ya utangazaji now ni presenter mzuri tuuuuuuuuuuuu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...