Naibu Waziri wa Fedha,Mh. Pereira Ame Silima akitoa hotuba kwa wahitimu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania jijini Dar es salaam wakati wa sherehe za mahafali ya tisa(9) ya Taasisi hiyo ya kuwatunuku vyeti na shahada wahitimu hao.
Naibu Waziri wa Fedha,Mh. Pereira Ame Silima (katikati) akizindua Mkataba wa Huduma kwa Mteja wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania(TIA) jijini Dar es salaam mara baada ya mahafali ya tisa(9) ya Taasisi hiyo. Wengine ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ushari ya TIA Profesa Isaya Jairo(kushoto) na Kaimu Mtendaji Mkuu wa TIA Shah Hanzuruni(kulia).
Naibu Waziri wa Fedha,Mh. Pereira Ame Silima (katikati) akiwahutubia wafanyakazi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania(TIA) jijini Dar es salaam jana mara baada ya kuzindua Mkataba wa Huduma kwa Mteja wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania(TIA). Wengine ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ushari ya TIA Profesa Isaya Jairo(kushoto) na Kaimu Mtendaji Mkuu wa TIA Shah Hanzuruni(kulia).
Naibu Waziri wa Fedha,Mh. Pereira Ame Silima (kushoto) akibadilishana mawazo na Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Shaban Kissu (kulia) jijini Dar es salaam jana mara baada ya kumalizika kwa sherehe za mahafali ya tisa(9) ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA).
Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) wakicheza muziki wakati kwa sherehe za mahafali ya tisa(9) ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA).Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO-Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Naona mzee wa Taxation unakwaitoka hapo..hahahaha saaafi saaana!

    ReplyDelete
  2. Hakunagaaaa ....kama wewe....hakunagaaaa!

    ReplyDelete
  3. Anko Prof. Jairo nakusalwitu, mtaalam wa Tax - IFM.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...