Waziri Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda akizungumza katika hafla ya utoaji Tuzo za Rais za Mwaka 2011 za Mzalishaji Bora kwa wanachama wa Shirikisho la wenye Viwanda Tanzania (CTI). Hafla hiyo ilifanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi kombe Mkurugenzi wa Mahusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steven Kilindo wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Rais za Mwaka 2011 za Mzalishaji Bora kwa wanachama wa Shirikisho la wenye Viwanda Tanzania (CTI). Hafla hiyo ilifanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa CTI, Felix Mosha akizungumza katika hafla hiyo.

kuona picha zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. waziri mkuu,Mizengo Pinda ; nafikiri sawa ni Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda. Nimegundua wakuu wa mikoa wote unatumia Mh, angalia wa Rukwa, Ruvuma.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...