Suleiman Ling’ande (Liro Entertainment) posing with Biola Alabi (Managing Director, MNet Africa), Peter Fauel (General Manager, MultiChoice Tanzania), Juniper Musa (Head of Africa Magic Channels) and Margaret Mathore (Africa Magic Content Buyer) during the Africa Magic Swahili Forum held this morning in Dar es Salaam. More than 25 film makers from Kenya and Tanzania will benefit from the three day training organized by MNet Africa.
Managing Director of MNet Africa, Ms Biola Alabi, answering questions from Kenyan and Tanzanian film producers during an Africa Magic Forum held this Thursday  at the Serena in Dar es Salaam aimed at sharpening their skills.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hebu Watanzania tuchangamke na tuwe pro-active kama wenzetu Wakenya. Ukitazama clips za muziki katika channel ya Africa Magic Swahili, utaona kuwa 90% ya clips zinatoka Kenya. Tusiwalaumu Wakenya kwa kusema Kilimanjaro iko Kenya (of course unauona kutoka Kenya), tujilaumu sisi wenyewe kwa kushindwa kusema kuwa Kilimanjaro iko Tanzania. Shime! Kumekucha!

    ReplyDelete
  2. swala la clips kutoka Kenya unaweza ukalielezea kutokana na hulka ya Wakenya (nepotism by nature) wanajua kimuziki wako nyuma ya tanzania kwahiyo wanachofanya ni kuuweka muziki wao mbele wakiwa na madhumuni ya kuupiku wa Tanzania! Cha kufanya Multichoice Tanzania ipiganie pia Watanzania wapewe nafasi za Utangazaji huko! Juzi hapa nimeona channel yao ya Kiswahili ina Wakenya woote kama representatives nikajiuliza sisi tunafanya nini hata tushindwe kupata nafasi hiyo ya MNET swahili channel?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...