Hapa Jamaa kaamua kupaki Gari yake kwenye Reli maeneo ya Gerezani huku akiwa hana wasi wasi wowote kana kwamba yupo kwenye sehemu sahihi na yenye usalama kwa gari lake.
Hapa biashara ikiendelea juu ya Reli maeneo ya Buguruni kwa Mnyamani kama Kamera yetu iliyoweza kuwanasa wafanyabiashara hawa mchana wa leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Tunashukuru kwa Taarifa nzuri tuzichamkie Wa Tanzania wasije kuvamia wa Nigeria.
    Shukran wadau mliotuletea taarifa.
    James Caan
    Lewisham Uk

    ReplyDelete
  2. Hapo City hawakamati?

    ReplyDelete
  3. Kwani kuna shida gani, tereni yenyewe haifanyi kazi, acha wapiga kura wetu wajitafutie riziki bwana. Umeshasikia tatizo lolote au umezoea unoko tu.

    ReplyDelete
  4. ndo Tz. jamani hata nje pale Ikulu wamepanga mitumba wanauza! Tuna upendo sana Tz.

    wafukuze uone, 20115 sio mbali hupati kura wewe na chama chako!

    ReplyDelete
  5. hiyo cha mtoto tu maneno yapo india watu wanafua nguo wanaanika kwenye reli na wengine wanafunga hema wnalala katikati ya reli wakisikia honi ya treni wanasogeza pembeni likipita mambo yale yale.

    ilitaka wafanye nini treni lenyewe linapita msimu hadi msimu kwa mwezi mara moja wanajuwa kabisa siku zake.

    ReplyDelete
  6. mi saioni tatizo, treni zenyewe spidi 10kmh.

    ReplyDelete
  7. KUHUSU PICHA YA KWANZA WACHA UONGO HUYO GARI IMEHARIBIKA NA INAONYESHA ANATOKA KWENYE GARI SASA KAEGESHA TU NA KUONGEA NA SIMU IMETOKEA WAPI KWAMBA HANA WASIWASI? YA PILI KAMA MDAU ALIVYOSEMA TRAIN ZENYEWE KAZI HAZIFANYI. WANGETENGENEZA TRAIN NA RELI HIZO WANGEFANYA TRAIN INAFANYA MSAFARI HIZO SEHEMU ZIPAKIE WATU BASI FOLENI NA SHIDA ZA MA BUS ZINGEPUNGUWA USAFIRI RAHISI. KITWANA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...