Sharoon Maganga One akiwa amepozi baada ya kukata keki na kuzima mishumaa. Anashukuru kwa kufika salama hapo alipo,anawashukuru sana wazazi wake kwa malezi wanayompa.
 
Ujumbe kwa watoto wenzake ni kwamba: Elimu ndio kila kitu kwa maisha bora na Heshima kwa wazazi ndio msingi pekee wa mafanikio ya maisha.kwa picha kedekede gonga: 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ankal mtoto mzuri na mrembo sana..ninaweza weka order kabisa?naomba msaada na habari hii usipuuze ifawikie Wazazi wake..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...